Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, hii leo Julai 27, 2025, jijini Dodoma, ameshiriki NBC Dodoma Marathon kwa mwaka 2025 akikata upeo kilomita tano.



Marathon hiyo imehudhuriwa na watu wa rika mbalimbali na ilihusisha mbio za makundi tofauti ambapo Mgeni rasmi katika tukio hilo alikuwa ni Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Mashaka Biteko