
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda leo Februari 20, 2024 anashiriki katika Kongamano la Kwanza la Kimataifa kuhusu Dhima ya Lugha ya Asili katika kujenga Tamaduni - Mtambuka, Diplomasia ya Kiidimu ya Uchumi linalofanyika jijini Dar es Salaam