
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia inampongeza Mohamed Omar Juma kwa kuwa Mshindi wa Kwanza katika Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu 2024 katika nyanja ya Shairi

Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia inampongeza Mohamed Omar Juma kwa kuwa Mshindi wa Kwanza katika Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu 2024 katika nyanja ya Shairi
