Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. kassim Majaliwa leo Machi 14, 2024 amewasili katika Bandari ya Dar es salaam kwa ajili ya kuzindua Nyaraka za Usimamizi wa Maafa na kushuhudia zoezi la Utayati wa dharura za Kemikali na Kimionzi Tanzania mpango ulio chini ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia
Habari
- 1 PAKUA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025
- 2 Viongozi mbalimbali wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia wakiingia Bungeni tayari kusikiliza hotuba ya bajeti
- 3 Pro. Adolf Mkenda akiingia Bungeni tayari kuwasilisha Hotuba ya Bajeti
- 4 Viongozi kutoka Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia wakiingia Bungeni
- 5 Prof. Carolyne Nombo na Prof. James Mdoe wakiingia Bungeni tayari kusikiliza uwasilishwaji wa Bajeti ya WyEST
- 6 Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia 2024/25