
Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela Afrika kupitia Elimu ya Juu ya Mabadiliko ya Uchumi ( Mradi wa HEET ) uliofadhiliwa na Benki ya Dunia umezindua Kamati ya Ushauri ya Viwanda mnamo tarehe 28 Julai, 2023 ikikusudia kuangalia mambo kadhaa ambayo yatakuza uchumi.