Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kupitia sehemu yake ya mafunzo ya Ualimu inasimamia na kutoa mafunzo ya Ualimu kwa vyuo 35 vya Ualimu vya Seilikali na vyuo vya ualimu visivyo vya Serikali. Aidha kwa upande wa vyuo vya Ualimu vya Serikali, Wizara inatoa kozi Za Astashada ya Ualimu elimu Awali na Msingi, Stashahada maalumu ya ualimu sayansi (miaka 3) na Stashahada ya ualimu sekondari (miaka 2).

VYUO VYA UALIMU VYA SERIKALI NA  MAFUNZO YANAYOTOLEWA

https://docs.google.com/document/d/e/2PACX-1vTF6ZnnFZnc6fXehp-DVkmo2_vwG...