Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Dkt. Hussein Mohamed Omar, katika halfa ya Uzinduzi wa Taarifa ya Tathimini ya Sera za Urejeaji na Mpango wa Utekelezaji wa Mwongozo wa kuwarejesha Shuleni Wanafunzi waliokatiza masomo katika Elimu ya Msingi na Sekondari kwa sababu mbalimbali Novemba 12, 2025 jijini Dar es Salaam.