Leo tarehe 15 Septemba, 2025, Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Ignatius Nombo ameongoza Ujumbe wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Mkutano Mkuu wa 69 wa Shirika la Kimataifa la Nguvu za Atomiki unaofanyika katika Jiji la Vienna, Nchini Austria. Kulia kwa Katibu Mkuu ni Balozi wa Tanzania na Mwakilishi wa kudumu Nchini Austria, Mhe. Naimi S. H. Aziz