Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof Adolf Mkenda na Naibu Waziri Omari Kipanga wakifutilia Uwasilishaji taarifa kuhusu shughuli za Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo ikiwasilishwa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe. Husna Sekiboko.