
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof Adolf Mkenda leo Novemba 14, 2023 Jijini Dodoma amekutana na kufanya mazungumzo na Mwakilishi wa Shirika la UNICEF nchini Bi Eike Wisch.
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof Adolf Mkenda leo Novemba 14, 2023 Jijini Dodoma amekutana na kufanya mazungumzo na Mwakilishi wa Shirika la UNICEF nchini Bi Eike Wisch.