Kamati ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo imeridhishwa na kasi, ubora wa ujenzi wa majengo ya kituo cha Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima yanayojengwa
Kibaha Mkoani Pwani,



Majengo hayo yanajengwa na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kupitia Mradi wa SEQUIP ili kutoa fursa kwa wanafunzi wanaosoma nje ya mfumo rasmi wa Elimu wakiwemo walikatisha masomo kwa sababu mbalimbali kama ujauzito, na utoro na sababu nyingine kama za kiuchumi.

11