Naibu waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhandisi Stella Manyanya akifanya mazungumzo na Waziri wa Elimu na Amali wa Zanzibar Riziki Pembe Juma hivi karibuni mjini Unguja ambapo wote kwa pamoja wamekubaliana kushirikiana ili kutatua changamoto mbalimbali katika sekta ya Elimu.
Ijumaa, 23 Desemba 2016 12:17