waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Joyce Ndalichako akizungumza na mmoja wa wanafunzi wanaosoma katika shule ya msingi ya BUSOHKELO wakiwa katika darasa linaloongea. Kwa mujibu wa walimu wanaofundisha darasa la kwanza na la pili wameeleza kuwa darasa linaloongea limewsaidia wanafunzi kusoma, kuandika na kuhesabu kwa urahisi Zaidi [KKK] shule ya msingi ipo Wilayani RUNGWE mkoani MBEYA.