Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Joyce Ndalichako akimkabidhi cheti mmoja wa vijana wazalendo waliojitolea kwa ajili ya kufyatua tofari 45,000 katika kipindi cha mwezi mmoja ili kujenga nyumba za walimu, vyumba vya madarasa na mbweni katika shule ya Sekondari ya Nasibugani iliyopo wilayani Mkuranga mkoani Pwani.